en.news

Leo XIV Praises Francis as a "Great Witness of Faith"

During today’s Regina Caeli prayer, Leo XIV paid tribute to his predecessor for his “great witness of faith and love.”
Francis died on Easter Monday last year (April 21, 2025) at the age of 88. Leo XIV said, “In the light of the Risen Lord, we remember Pope Francis today with special affection.”
Fittingly, he warned that the truth is often obscured by fake news, “that is, by lies, insinuations, and unfounded suspicions.”
#newsTqowhltbxb

9829
Denis Efimov

What wild nonsense he's spouting! No, we absolutely don't remember Francis "with special affection." We remember him as a vile demon from the depths of hell, who daily destroyed everything Catholic, especially the faith.

sw.cartoon

Francis Amelifanya Kanisa Mhali Pa Vita Na Uwanja Wa Michezo.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsYanurhijxw

112
sw.news

Udhibiti Utakaofuata Wa Vatikani?

Vatikani inaelekea kuidhibiti Jumuiya ya Heralds of the Gospel, jumuiya ya Haki za Kipapa ya Brazil iliyo na maelfu ya wanachama na ambayo imeenea katika mataifa 78, kulingana na Marco Tosatti kwenye mtandao wa lanuovabq.it. Sababu za udhibiti huo hazijabainika vizuri.
Tosatti anabainisha kuwa ni Vatikani huingilia kati jumuiya ambazo huunga mkono Katoliki, kukusanya miito na zilizo na rasilimali nyingi.
Picha: © Marie-Lan Nguyen, CC BY, #newsHebhtjrwut

103
RAFAEL MEDINA MEDINA

Muujiza wa Ekaristi uliotokea wakati wa Misa iliyoadhimishwa na Askofu Claudio Gatti, huko Roma, Italia

Kurasa 6
76

Horrific Easter Attack: Muslim Driver Rams into Christian Procession in Gujranwala Village, Critically Injuring 60+ and Killing Several On Easter morning in the village of Klasske, Gujranwala while Christians were taking part in a Easter procession, a Muslim driver in a high-speed car plowed straight into the crowd, critically injuring more than 60 people. Multiple Christians have been killed in this horrific attack on a HOLY day.

00:52
1626
yuca2111

Pray for us new martyrs 🙏, may God heal those who are in critical care due to this horrible attack... 🙏

remi dec

Artemis II and III - Diversity demands it

1634
john333

Cirque du Soleil tickets moon performance will be on sale at any NASA outlet

New Record: 14,000 Registered for Chartres Pilgrimage on First Day

Fourteen thousand people registered in a single day for the 2026 Notre-Dame de Chrétienté pilgrimage on the Paris–Chartres route, compared to 6,000 on the first day last year.
The pilgrimage will take place over Pentecost, from May 23 to 25, and is expected to gather 20,000 participants walking to Chartres.
A new, more accessible option - the “Jerusalem Route” - has been introduced. Shorter than the traditional 100 km walk (around 70 km), it is designed for those unable to complete the full distance. Like the main route, it also ends in Chartres, allowing more pilgrims to take part in the final stages of the pilgrimage.
#newsChiagvdgui

1929
Father Karl A Claver

Catholicism once many pilgrimages and processions. I am glad that this one is still among us and is gaining in popularity.

sw.cartoon

Kadinali Zen Aliambia Kituo Cha EWTN Kwamba Angechora Kibonzo Kikimwashiria Francis Kapiga Mgoti Huku Akiupa Utawala Wa China Vifunguo Vya Peter.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsWfkehjmrpd

108
sw.news

Kadinali Zen Amwita Kadinali Parolin " Mtu Mwenye Imani Ndogo"

Kadinali wa HongKong Zen amemwita Kadinali Pietro Prolin, Waziri wa Masuala ya Nchi za Kigeni wa Vatikani, "mtu mwenye imani chache". Zen aliandika kwenye blogu lake (Februari 5) kuwa Wakatoliki wa China hawaogopi umaskini, kufungwa gerezani, na ujabari, ila " maumivu yao ni kujiona wakisalitiwa na 'familia'".
Kulingana na Zen, mahojiano ya hivi maajuzi ya Parolin kuhusiana na China "yamejawa na maoni mabaya".
Zen alidhihirisha kuwa Parolin aliibadilisha barua aliyoituma Benedict XVI kwa Wakatoliki wa China (2007). Parolina alitaja kauli ya Benedict XVI kuwa "sulushu la matatizo ya sasa haliwezi kupatikana kwa kupitia mzozo unaoendelea dhidi ya mamlaka halali ya kiraia".
Lakini Parolina alisitiri maarifa kuwa Benedict aliendelea kwa kusema kuwa "kwa wakati huo huo, hata hivyo, kuyatii mamlaka hayo hakukubaliki iwapo yanahitilafiana na masuala yanayohusiana na Imani na nidhamu ya Kanisa."
Picha: Joseph Zen, © tephen Wu, CC BY-NC-ND, #newsEpphxvmeen

123
Luca Diste

Franca Giansoldati in the Vatican circus: a joke …
In the grotesque knot that has for years tightened around the Vatican, populated by impostors forever straining towards circles that continue to keep them at a distance, the tragicomic saga of certain self-styled Vatican experts and headline fabricators goes on unabated. They form part of a well-organised clique which now seems to have lost even the most basic sense of the ridiculous to which it has surrendered itself.
The April Fool’s joke that is not funny
Against this backdrop, at 9.29 a.m. on 1 April, Katholisch.de published an article claiming that Pope Leo XIV was intending, at least provisionally, to settle the dispute over the pre-conciliar liturgy through an unusual compromise. The piece attributed to the Pontiff a non-existent motu proprio, significantly entitled Retrograde semper, under which the faithful would supposedly have been permitted, during Mass, to turn their backs on the priest, regardless of which …Zaidi

00:27
3834
Michi Gini ameshirikisha hii

Franca Giansoldati nel circo del vaticanismo: …
Nel groviglio grottesco che da anni si addensa attorno al Vaticano, popolato da millantatori perennemente protesi verso ambienti che continuano a tenerli a distanza, prosegue senza tregua la saga tragicomica di certi sedicenti vaticanisti e fabbricatori di titoli, riuniti in una cricca ben organizzata che sembra aver ormai perduto perfino il senso del ridicolo al quale si è consegnata.
Il pesce d’aprile che non fa ridere
In questo contesto, il 1° aprile alle ore 9.29, Katholisch.de ha pubblicato un articolo nel quale sosteneva che Papa Leone XIV sarebbe intenzionato a chiudere, almeno provvisoriamente, la disputa sulla liturgia preconciliare attraverso un singolare compromesso. Il testo attribuiva infatti al Pontefice un inesistente motu proprio, significativamente intitolato Retrograde semper, con cui si sarebbe consentito ai fedeli, durante la Messa, di voltare le spalle al sacerdote, a prescindere dal messale utilizzato...
articolo …Zaidi

Lionel Leslie Andrades

04.04.2026
RATZINGER FOLLOWED RAHNER’S FACTUAL ERROR WHICH PRODUCES SCHISM AND CALLS FOR AUTOMATIC EXCOMMUNICATION : HE DID NOT TELL THE CHURCH ABOUT A RATIONAL AND NON SCHISMATIC ALTERNATIVE
RATZINGER FOLLOWED RAHNER’S FACTUAL ERROR WHICH …

sw.news

Askofu Mfaransa Huhofia “Kuondolewa Vikuu” Na Waislamu

Askofu Mkuu wa Strasbourg Luc Ravel huiona Ufaransa katkikati mwa “kuondolewa vikuu” na Waislamu kwa sababu ya viwango vya uzazi na mabadiliko ya kidemografia. Akizungumza na Dernières nouvelles d’Alsace pia alikosoa, kuwa uavyaji mimba “haukukubalika tu, lakini pia ulikwezwa”. Kulinganana Ravel, hili ni jambo lisilokubalika sio tu kwa sababu za kimaadili lakini pia kwa sababu “anaipenda nch ya Ufaransa”.
Picha: Luc Ravel, © Claude Truong-Ngoc, Wikimedia Commons, CC BY-SA, #newsAvepygdwzx

61
sw.cartoon

Nini Huja Baadaye Baada ya Kasisi Waliooa?
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsQbnoyqelzk

124
sw.news

Askofu Sánchez Kamwe Huwa Hashiriki Katika Ibada Ya Misa Wala Kusema Maombi

Askofu mzawa wa Agentina Marcelo Sánchez Sorondo, aliyekuwa rais mtatanishi wa Chuo cha Upapa cha Sayansi, huishi "kama mwanabiashara" kulingana na Gabriel Ariza aandikiaye infovaticana.com. Sánchez ni baadhi ya wafuasi wa karibu wa Papa Francis katika Utawala wa Roma.
Kulingana na watu ambao wamewahi kushirikiana naye, Sánchez "Kamwe huwa hashiriki katika Ibada za Misa na, bila shaka, pia maombi huwa hayasemi." Wanaamini kuwa Sánchez hata hakimiliki kitabu cha maombi.
Shahidi mmoja alisema kulingana na infovaticana.com kuwa, " Siku moja ilimbidi ashiriki katika ibada ya Misa, na lilikuwa jambo cheshi kuona jinsi ambavyo hata hakuzijua sehemu muhimu za Ekaristi."
La ziada, wanakiri anayo nafsi mbaya Sánchez, ambaye kulingana nao huwatendea wasaidizi wake "kwa njia potovu na isiyo ya heshima, haswa wanawake."
Picha: Marcelo Sánchez Sorondo, © Gcmarino, wikicommons, CC BY-SA, #newsBgojkovcvg

93
sw.cartoon

Theluji kule Roma Mwisho wa Februari.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsIcgbsutrfr

141
sw.news

Francis Akashifu "Tabia Ya Kutamausha" Ya Kuunda "Miungu" Wa "Ukweli Dhahania"

Katika hotuba yake ya Mafuta Matakatifu, Papa Francis aliwaonya makasisi "dhidi ya tabia ya kuchukiza " ya kuanguka majaribuni ya kuunda "miungu" wa "ukweli fulani wa dhahania".
Ana imani kwamba kurejelea sheria ya Kanisa na Mafundisho wakati wa hotuba huenda "kukawatenganisha" waumini wa kawaida na Yesu Kristo.
Pia alionya kwamba maneno ya Kristo " Enenda na usitende dhambi tena" huenda yakawa na "sauti ya kisheria".
Deacon Nick Donnelly alipendekeza kwenye mtandao wa Twitter kwamba hili lina maana kwamba makasisi wanastajili " kuufuata mfano wa Francis na 'kuziabudu' nafsi zao".
#newsTaxpttjptf

57
sw.cartoon

Nakala Kuu Ya Matayarisho Ya Sinodu Ilipuuza Jamii Kubwa Ya Mtandaoni Iliyokuwa Ikiulizia Misa Ya Kale.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsSlxxyxzlfz

115
sw.news

Mwandishi Wa ‘The Dictator Pope’ Afichuliwa (Video Ya Kipekee)

Mwandishi wa kitabu kizuri cha Dictator Pope amefichuliwa kuwa mwanahistoria Henry Sire, kulingana na Catholic Herald (Machi 19).
Sire alikichapisha kitabu chake mnamo mwezi Desemba chini ya jina Marcantonio Colonna. Alizaliwa mnamo mwaka wa 1949 mjini Barcelona na hivi sasa yeye huishi Rome anakofanya kazi kama mwanahistoria. Ana shahada katika Historia ya Kisasa kutoka chuo kikuu cha Oxford.
Sire ni mgeni katika mkutano wa msimu wa kiangazi wa kila mwaka wa Baraza la Kikatoliki la Rome mjini Gardone, nchin Italia.
Picha: Henry Sire, © Joseph Shaw, CC BY-NC-SA, #newsEhgpwprhqx

67
De Profundis

Facial expressions and body language are more revealing than the spin doctors’ narratives. Have you ever seen Trump like this before? US fighter jets shot down, oil prices skyrocketing, no support from NATO countries, allies pulling away... He didn’t see this coming.

00:12
16672
Ad Orientem

yuca2111 Kamela 😡 . Und beten wir für Trump 🙏

Immanuel Kant
sw.news

Askofu Mkuu Wa Philadelphia Akisifu Kitabu Ambacho Kinamkashifu Francis Vikali

Askofu mkuu wa Philadelphia Chaput alikiita kitbau cha Ross Douthat To Change the Church "chenye maarifa na cha kuvutia".
Douthat ni mwandishi na mwandishi wa habari wa gazeti la habari bandia la New York Times.
Kitabu chake kinamkashifu vikali Papa Francis. Kilichapishwa mnamo mwezi Machi mwaka wa 2018.
#newsBlsbiafxzp

39
en.news ameshirikisha hii kutoka Fernanda Dellucci

Multiple governments - including the USA, France, Italy, Spain, Portugal, Lebanon, and Poland, - condemned Israeli police for blocking a private prayer by Cardinal Pizzaballa at the church of the Holy Sepulchre in Jerusalem today. In response, Israeli officials say they are working on a plan to allow church leaders to worship at the holy site in the coming days. Cardinal Pizzaballa told TV2000 that there were no clashes: "Everything was done in a very polite manner. I do not want to force the issue. We want to use this situation to try to clarify better in the coming days what to do, in respect for everyone's safety but also in respect for the right to prayer."

Cardinal Pizzaballa: “It is true that the police had said that the orders from the internal command prevented any kind of gathering in places where there is no shelter, but we had not asked for anything public, just a brief and small private ceremony to preserve the idea of the celebration in the Holy Sepulchre. There were no clashes; everything was done in a very polite manner. I do not want to force the issue; we want to use this situation to try to clarify better in the coming days what to do, in respect for everyone's safety but also in respect for the right to prayer."

01:29
7elfu 6
Instaurare Omnia in Christo

As trump knows bibi and Israel leaders, he could have allowed it. But he didn't. Just talk as usual. NO Action!

CatMuse

That’s clear.